BIG EVENT YA RAISING THE STANDARD NDANI YA MLIMANICITY ni Tare 20/8/2011 & 21/8/2011
Watu wengi usema Walokole ni washamba lakini hii itabadili fikra finyu,came and see watu watakavyo pendeza na kuvutia.
Sio ilotu,wasani mbalimbali wa mziki wa injili kutoka nje ya nchi yetu ya Tanzania watafanya muziki live ndani ya Mlimani city.
Pia kila mwanamuziki atakae panda jukwaani atakuwa na dakika 10 za Parfomance.
Vilevile wanamuziki wa Tanzania watapewa nafasi yakujifunza nini wenzao wa nchi za Ulaya wanafanya katika mziki wa injili.
Lengo kubwa la Rising the standard ni kumuinua Yesu kristo katika kizazi hiki cha sasa.
Siku ya Show Tare 20/8/2011 Tupia Pamba za ukweli,but Tare 21/8/2011 Tupia kitu cha Tshirt na Jean
No comments:
Post a Comment