MUIMBAJI RACHEL SHARP AFANYA UTAMBULISHO WA ALBAM KWA WANAHABARI.
Mc Event Rith Chuwalo akifanya
utambulisho kwa waandishi pamoja na watangazaji waliofika.Kushoto
Blogger Luphurise Lema,Blogger Nice Noel,Furaha Masinga kutoka Sibuka
Tv.
Siku ya jana Tegeta yaliko makazi ya
muimbaji Rachel Sharp kwa hapa Tanzania alifanya Utambulisho wa Albam
yake mbele ya waandishi wa Habari.Mwanamuziki huyo
alisema albam hiyo yenye jina la "Ni Mungu Wa Ajabu" ina jumla ya nyimbo
kumi zilizo katika mfumo wa CD na nyimbo 8 zilizo katika DVD.
Katika
Lisara yake iliyokua ndefu Rachel alisema DVD ya Albam yake amefanya
sehemu tofauti tofauti ya Nchi yetu pamoja na Sweden yaliko makazi yake
kwa sasa.Aliendelea kueleza Ipo haja ya watanzania
Kuimba nyimbo zenye mahadhi ya Mdumange na Mdundiko ili kulinda radha
halisi ya Kitanzania na Kuutangaza Muziki Wa Asili ya Kitanzania nje ya
Mipaka Ya Tanzania.
Rachel
akiwa ni Mama wa watoto wa wili waishio Sweden kwa sasa yupo katika
likizo fupi nchini Tanzania ambako anafanya kazi ya mziki wa injili.
Uncle Jimmy akiwa na waandaaji wa vipindi kutoka Clouds Tv.Kulia ni Mudi Muzungu kushoto ni Faraja.
Mdogo wa mwisho wa Rachel
Rachel akifanya utambulisho wa Baba mzazi na Mama mzazi.
Upendo Kilahiro akifanya kweli
Rachel akienda sawa katika uzinduzi wake
Rachel akisoma Lisala fupi
Master Prophet C.J. Machibya akiiyombea kazi ya dvd na Audio
Blogger Kyaruzi
Popote habari itakufikia kwa wakati huohuo.Papa the Blogger akitupia story.
Hapa sijui walikua wanafanya nini Rachel na King Chavala
Mama Mzazi wa Rachel Sharp
Kwa Makini Mr Machibya akiandika mawili matatu
Papaa akifanya maojiano na Upendo Kilahiro pamoja na Rachel baada ya uzinduzi kumalizika.
No comments:
Post a Comment