Wednesday, May 16, 2012

John Lisu azidi kufanya kweli Nairobi-Kenya

John Lisu azidi kufanya kweli Nairobi Kenya katika Tuwa ya Jehova Yu Hai,Apo jana akiwa katika Kanisa la International Christian Centre Church Mombasa rd,Nairobi Kenya maelfu ya watu wamebarikiwa na Tuwa hiyo.

John Lisu akifanya kweli ndani ya ICC Nairobi.

John Lisu

No comments:

Post a Comment